Jumamosi, 24 Februari 2018

INTELIJENSIA 10 MASHUHURI DUNIANI

Na Simon Noel

10.ASIS   AUSTRALIA
Makao makuu Canberra Australia
Nchi ya Australia ni miongoni mwa nchi chache duniani zenye utulivu Wa hali ya juu.
Idara yao ya ijasusi ya ASIS imeweza kuwahakikishia wananchi wa Australia utulivu wa hali ya juu na pia Idara yao ya ujasusi ya ASIS imeweza pia kuwa Idara mashuhuri iliyoweza kudhibiti wahamiaji haramu kuingia nchini humo

9. DGSE  UFARANSA
Makao makuu Paris Ufaransa
Nchi ya Ufaransa ni miongoni mwa nchi zinazokumbwa na mashambulizi ya magaidi Mara kwa mara. Shirika lao la ujasusi la DGSE limekuwa mstari Wa mbele kuwalinda raia wake ingawa kwa siku za karibuni limeonekana kupungua uwezo wake. Shirika hili la ujasusi pia limekuwa imara kuhakikisha Ufaransa inakuwa na Amani na utulivu

8. BND UJERUMANI
Makao makuu Pullach na Berlin
Nchi ya Ujerumani ni miongoni mwa nchi zilizoendelea na hutumia bajeti kubwa sana katika maswala ya usalama hivyo basi shirika lao la ujasusi limeweza kufanya kazi kwa ufanisi na kuwahakikishia raia wao usalama na uutulivu. Kwa miaka ya karibuni shirika la ujasusi la Ujerumani limeweza kudhibiti mashambulizi ya kigaidi kutokea nchini

7 RAW INDIA
Makao makuu Delhi India.
Vita vya Mara kwa Mara na Pakistan na kuongezeka kwa uhalifu nchini humo kuliisukuma serikali ya India kuanzisha shirika la kijasusi la RAW mwaka 1968 mahsusi kabisa kulinda usalama Wa taifa lao. Kufikia wakati huu RAW ni moja ya mashirika hodari kabisa ya kijasusi duniani likiwa na majasusi sehemu mbali mbali duniani wakikusanya taarifa mbalimbali kwa usalama Wa nchi yao ya India.

6. MSS CHINA
Makao makuu Beijing
Nchi ya China ni miongoni mwa nchi zenye nguvu kubwa za kijeshi na hutumia bajeti kubwa Sana katika maswala ya usalama. Shirika la ujasusi la china limefanikiwa kuwa miongoni mwa mashirika ya kijasusi yenye weledi wa hali ya juu huku wakitumia vifaa vya kisasa na uwezo wake umeonekana kuimarika siku hadi siku

5. GRU URUSI
Makao makuu Moscow
Shirika hili liliundwa baada ya kuvunjika kwa shirika la ujasusi la KGB ambalo lilikuwa shirika la ujasusi la nchi muungano Wa soviet. Wakati Fulani KGB iliwahi kuwa Idara ya ujasusi yenye nguvu duniani ila kwa sasa GRU inashika nafasi ya tano ikizidiwa na nchi nyingine kwa weledi na ujuzi katika maswala ya ujasusi na upelelezi. GRU imesaidia sana kudhibiti uhalifu ndani ya nchi ya Urusi

4. M16 UINGEREZA
Makao makuu London
M16 Ni moja kati ya idara za kijasusi zenye miaka mingi sana. Nchi nyingi sana duniani hujifunza utawala na mifumo ya ulinzi na ujasusi kutoka nchi ya uingereza. Shirika la M16 limeweza kutoa mafunzo kwa nchi nyingi sana duniani na limeweza kufanya operesheni mbali mbali zenye mafanikio sehemu mbali mbali duniani na limeweza pia kudhibiti hali ya usalama nchini Uingereza na pia hutoa msaada Wa ulinzi katika nchi mbali mbali duniani

3. Mosad ISRAEL
Makao makuu Tel Aviv
Tangu lilipoanzishwa mpaka sasa shirika la mosad limeweka rekodi ya kufanya miujiza ya kushangaza katika operesheni zake. Wakati Wa kuokoa mateka Wa kiyahudi waliokuwa entebe mosad walifanya operesheni ya kushangaza dunia. Mmoja Wa ofisa wake alivaa kama idi Amin hali iliyowazubaisha watekaji na kupelekea operesheni hiyo kufanikiwa. Mosad pia imekuwa ikilinda kwa uhakika maisha ya raia Wa Israel ndani na nje ya nchi yao.

2. CIA. USA
Makao makuu Fairfax Virginia
Marekani ndio nchi yenye teknolojia ya hali ya juu katika mambo ya usalama kulinganisha na nchi yoyote ile. Kwa miaka mingi Idara ya ujasusi ya CIA ilikuwa ndio Idara yenye ujuzi kuliko nchi yoyote ile. Ila kwa sasa inashika nafasi ya pili. CIA ina majasusi kila kona ya dunia na imefanikiwa kupenyeza majasusi wake kila sehemu ya ulimwengu mashirika mengi ya kijasusi ya duniani huwa yana mapandizi ya CIA bila yenyewe kujua.

1. ISI PAKISTAN
Makao makuu Islamabad
Wengi inawawia vigumu kuelewa na hata kuamini Ni kwa vp nchi yenye uchumi na dhaifu na hata jeshi lililo dhaifu kiasi cha kushindwa vita Mara tatu na India kuweza kuwa namba moja katika maswala ya kiintelijensia.
Pakistan imefanikiwa mno katika maswala ya usalama kuliko nchi yoyote ile. Majasusi Wa Pakistan Ni wasiri mno kuliko wowote wale. Mafunzo kwa majasusi wapya huanza wakiwa na miaka 16 na kisha huchujwa hadi kupatikana majasusi wanaotakiwa. Intelijensia ya Pakistan ndio iliweza kumficha Osama bin Laden kwa miaka Zaidi ya 15 licha ya kwamba walijifanya wakishirikiana na CIA kumtafuta Osama.

David kagoma.

Maoni 1 :

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159

    JibuFuta