Jumanne, 11 Julai 2017

WAFAHAMU MAPAPA HAWA

Moja ya Mapapa waliowahi lifanyia kazi kanisa kwa mda mfupi zaidi,

34.Mt. Markus, Mwaka 336(miezi 10)
66.Mt. Boniface III, Mwaka 607(miezi 9)
87.Mt. Sisinnius , Mwaka 708(siku 18)
100.Mt. Valentino, Mwaka 827(siku 40)
112.Mt. Boniface VI, Mwaka 896(siku 15)
115.Mt. Theodore II, Mwaka 897(siku 20)
118.Mt.Leo V, Mwaka 903(mwezi 1)
123.Mt.Leo VI, Mwaka 928(miezi 6)
140.Mt.YohaneXVI, Mwaka 1003(miezi 6)
147.Mt.Benedicto IX, Mwaka 1047-1048(Mara        ya tatu)
151.Mt.Damasi II, Mwaka 1048(siku 23)
185.Mt.Innocent V, Mwaka 1276(miezi 6)
186.Mt.Adriano V, Mwaka 1276(siku 38
192.Mt.Celestino V, Mwaka 1294(miezi 4)
215.Mt.Pius III, Mwaka 1503(siku 26)
222.Mt.Marceli II, Mwaka 1555(siku 20)
230.Mt.Innocent IX, Mwaka 1591(miezi 2)
263.Mt.Yohani Paulo I, Mwaka 1978(siku 34)

Hapo utagundua pamoja na Papa Benedicto XVI Kujiuzuru na wapingaji wengi kuiita ni khashfa ila amelitumikia sana kanisa, Tumuombee zaidi aimarike kiafya pia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni